Hebrews 11:36-37

36Wengine walidhihakiwa na kupigwa, hata walifungwa minyororo na kutiwa gerezani. 37 aWalipigwa kwa mawe; walipasuliwa vipande viwili kwa msumeno; waliuawa kwa upanga. Walizungukazunguka wakiwa wamevaa ngozi za kondoo na mbuzi, wakiwa maskini, wakiteswa na kutendwa mabaya,
Copyright information for SwhKC